Jinsi ya kufaulu mitihani

Katika hii blog utaweza kujifunza namna ya kufaulu mitihani

Hapa ntaelezea njia chache tu
1.Soma kwa malengo
Ukisoma kwa malengo itakusaidia wewe kupambania ndoto yako uliyonayo

2.Soma kwa kufupisha yaani summary
Usomaji wa njia hii itakusaidia kusoma kitu bila kukuchosha

Comments

Popular posts from this blog