Posts

Jinsi ya kufaulu mitihani

Katika hii blog utaweza kujifunza namna ya kufaulu mitihani Hapa ntaelezea njia chache tu 1.Soma kwa malengo Ukisoma kwa malengo itakusaidia wewe kupambania ndoto yako uliyonayo 2. Soma kwa kufupisha yaani summary Usomaji wa njia hii itakusaidia kusoma kitu bila kukuchosha

This helps you to get educational materials

Hii itakusaidia wewe kupata mitiani ya mock inayotolewa kila mwaka kwa kidato cha pili na cha nne mikoa yote na notes vitado vyote This will help you to get the mock papers that are given every year for the second and fourth form in all regions and notes in all studies.